Huduma Zetu
Mwanzo / Huduma Zetu
ELIMU | KILIMO | IMANI | AFYA
Uwezeshaji wa Mipango Mkakati
TSSL huwezesha mashirika, taasisi na jamii katika Elimu, Kilimo, Imani na Afya kuandaa mipango mkakati kupitia mfumo wa usajili.
Soma Zaidi →ELIMU | AFYA | IMANI | KILIMO | JAMII
Uhamasishaji wa Rasilimali
TSSL husaidia mashirika na jamii kuhamasisha rasilimali kwa ajili ya miradi katika Kilimo, Elimu, Afya, Imani na Jamii kupitia usajili wa muda maalum.
Soma Zaidi →ELIMU | KILIMO | IMANI | AFYA
Ubunifu wa Miradi na Uandishi wa Andiko
TSSL husaidia kujenga uwezo wa kubuni, kupanga na kuandika maandiko ya miradi ya maendeleo kupitia mbinu shirikishi.
Soma Zaidi →MIPANGO | MIRADI | PROGRAMU | MIKAKATI
Huduma za Tathmini
TSSL ina uzoefu mkubwa wa kutathmini mipango, miradi, programu na mikakati ya mashirika ya umma, binafsi na sekta ya tatu.
Soma Zaidi →