Uhamasishaji wa Rasilimali
Mwanzo / Huduma Zetu / Uhamasishaji wa Rasilimali
ELIMU | AFYA | IMANI | KILIMO | JAMII
TSSL husaidia mashirika na jamii kuhamasisha rasilimali kwa ajili ya miradi katika Kilimo, Elimu, Afya, Imani na Jamii kupitia usajili wa muda maalum.
Huduma hii hutolewa kwa mashirika ya umma na binafsi pamoja na asasi za kiraia, taasisi za kitaaluma, biashara, imani na jamii. Mbinu yetu shirikishi huhakikisha kujenga uwezo wa shirika linalojisajili na umiliki wa 100% wa mchakato na matokeo.
